iqna

IQNA

ustaarabu wa Kiislamu
Ustaarabu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho yamefunguliwa Abu Dhabi nchini UAE, yakionyesha nyaraka zinazobainisha mchango wa Uislamu katika elimu na, ustaarabu na utamaduni duniani na hasa bara Ulaya.
Habari ID: 3476299    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24

Ustaarabu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Rabat mji mkuu wa Morocco unaandaa maonyesho ya ‘Sarafu na nyaraka za kale za Kiislamu’ pembezoni mwa kikao cha 43 cha Baraza la Utendaji la Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Kiislamu (ISESCO).
Habari ID: 3476298    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) amesema ustaarabu mpya wa Kiislamu unaweza kupatikana tu kupitia umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3475302    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27